MWIGIZAJI wa filamu katika tasnia ya filamu
Diana Exavery anasema kuwa kazi yake ya filamu anavyoipenda anahitaji kuwa huru
zaidi, kufuatia kupata uhuru huo inamradhimu kutokuwa na mahusiano na mwanaume
yoyote kwani kwa kukubali kuwa chini ya mwanaume hatakuwa huru na kufanya kazi
zake.“Katika maisha yangu nahitaji
sana kuwa huru na uhuru najua unapatikana pale mtu anapokuwa hana mahusiano na
mwanaume, hilo ndilo naliona kwangu sahihi kwani ninapokuwa huru sipati mtu wa
kunisumbua na kunizuia kazi zangu za sanaa kwa ujumla,”anasema
Diana.
Msanii huyu alianza kung’ara katika filamu ya Mtunis iliyojulikana kwa jina la Best Wife, baadae alishiriki katika filamu ya Mrembo kikojozi, pia filamu ya Yatima asiyestahili, n.k
Msanii huyu alianza kung’ara katika filamu ya Mtunis iliyojulikana kwa jina la Best Wife, baadae alishiriki katika filamu ya Mrembo kikojozi, pia filamu ya Yatima asiyestahili, n.k
0 comments:
Post a Comment